News Single

News Single

POSTA YASHIRIKI MEI MOSI NJOMBE 2026

Blog Single

Shirika la Posta Tanzania limeungana na wafanyakazi wengine nchini kuadhimisha Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) kitaifa, tarehe 1 Mei 2026, Njombe.

Mgeni Rasmi: Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kauli Mbiu: “Kazi zenye Staha ni Nguzo Imara kwa Maendeleo endelevu katika Utekelezaji wa Dira ya Taifa 2050.”

Imetolewa na:
Kitengo cha Mawasiliano
Shirika la Posta Tanzania