JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

SHIRIKA LA POSTA TANZANIA


 

DIRA YA SHIRIKA 

Mtoa huduma za Posta bunifu na uhakika zinazoendana na vionjo vya wateja katika Uchumi wa Kidijitali.

DHIMA YA SHIRIKA

Kutoa huduma bora za Posta, usafirishaji, fedha, biashar mtandao na huduma za Kiserikali zenye kukidhi matakwa ya wadau.

TUNU ZA SHIRIKA

  1. Mteja kwanza, (Kuwajali wateja kwa kutimiza mahitaji na matarajio yao kwa kuboresha ubora wa huduma).
  2. Uadilifu
  3. Uaminifu mahala pa kazi
  4. Weledi

 


© SHIRIKA LA POSTA TANZANIA