JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

SHIRIKA LA POSTA TANZANIA


DIRA YA SHIRIKA 

Mtoa huduma za Posta bunifu na uhakika zinazoendana na vionjo vya wateja katika Uchumi wa Kidijitali.

DHIMA YA SHIRIKA

Kutoa huduma bora za Posta, usafirishaji, fedha, biashar mtandao na huduma za Kiserikali zenye kukidhi matakwa ya wadau.

TUNU ZA SHIRIKA

      1. Mteja kwanza

Wadau muhimu wanabaki, kwanza kabisa, umma wa Tanzania na wateja. Kwa hiyo, ni mahitaji na matarajio ya mteja ambayo tunapaswa kujitahidi kutimiza kwa kuboresha ubora wa huduma, ubora wa huduma za wateja na thamani ya fedha;

      1. Uadilifu

Tunachukuliana kwa heshima, utu, uaminifu na kuzingatia uwajibikaji na uwazi katika jinsi tunavyofanya kazi.

    1. Uaminifu mahala pa kazi

Watu wetu wanajiendesha kimaadili kwa njia ambayo haina lawama ili kupata imani ya wateja na wadau wetu;

  1. Weledi

Daima tunatamani kufanya biashara yetu kwa kiwango cha juu zaidi na kwa kufuata viwango vya kitaifa na kimataifa katika Huduma za Posta. Ubora ni lengo la kila kitu kupitia uvumbuzi unaoendelea, ari ya ujumuishaji, na viwango vya juu huboresha ubora katika kila kipengele;

      1. Kubali Mabadiliko

Tunakumbatia mabadiliko na utofauti katika jinsi tunavyofanya biashara.

Rudi Juu

© SHIRIKA LA POSTA TANZANIA