Ni huduma ya kusafirisha na kusambaza nyaraka na vipeto muhimu kwa haraka na usalama ndani na nje ya nchi kwa malipo yanayowezesha kufikishwa hadi nyumbani.
Serikali imeanzisha vituo vya huduma pamoja ndani ya ofisi za Posta ili kuboresha utoaji wa huduma za Serikali kwa kutumia teknolojia ya habari na mawasiliano.
Kwa bei nafuu sana Posta inakufikishia barua, nyaraka na vifurushi kutoka popote pale ulimwenguni mpaka mlangoni kwako
Huduma ya sandukua inakupa sehemu salama na ya kudumu ya kupokea barua na nyaraka zako muhimu bila wasiwasi wa kupotea au kuchelewa. Ni suluhisho rahisi, salama na linalofaa kwa watu binafsi na biashara zinazohitaji uhakika wa mawasiliano.
Tunakusafirishia mizigo yenye uzito mkubwa zaidi ya kilogram 30 au yenye umbo lisiloweza kufungwa kama kifurushi na kutumwa
Tunakufikishia barua, nyaraka na vifurushi kutoka ndani na nje ya nchi mpaka mlangni kwako.
TUMEFUNGUA FURSA
KUWEZESHA WANANCHI KUFIKIA FURSA ZA UWEKEZAJI KUPITIA DAWATI LA UWEKEZAJI KATIKA OFISI ZA POSTA NCH…
Jun 25, 2026
TUMESOGEZA HUDUMA KARIBU ZAIDI
SHIRIKA LA POSTA TANZANIA LAENDELEA KUSOGEZA HUDUMA ZA SERIKALI KWA WANANCHI KUPITIA VITUO VYA HUDU…
Jun 25, 2026
TUMEPIGA HATUA
SWIFPACK: HUDUMA YA KIDIJITALI INAYORAHISISHA USAFIRISHAJI WA VIFURUSHI, MIZIGO NA ABIRIA NCHINI
Jun 23, 2026
AMSHA AMSHA ZA KITAA SABASABA 2026
POSTA NA TANTRADE TUMETAWALA MTAA MZIMA KUELEKEA MAONYESHO YA KIMATAIFA YA KIBIASHARA 2026
Ofisi ya Postamasta Mkuu Posta House 7 Mtaa wa Ghana, S.L.P 9551 11300, Dar es Salaam Telegramu: POSTGEN Nukushi: (022) 2113081 Namba ya Simu: +255735008008 Barua Pepe: pmg@posta.co.tz Tovuti: www.posta.co.tz