JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

SHIRIKA LA POSTA TANZANIA

Habari

SALAMU ZA PONGEZI


Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Wafanyakazi wa Shirika la Posta Tanzania (TPC) wanatoa pongezi za dhati kwa Mheshimiwa Dkt. Emmanuel John Nchimbi  kwa kuchaguliwa kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.


© SHIRIKA LA POSTA TANZANIA