Habari
KUELEKEA SABASABA
Shirika la POSTA TANZANIA na TANTRADE kuelekea Sabasaba 2026, kuhakikisha upatikanaji wa huduma za PostCargo kwa usafirishaji wa mizigo mikubwa, Royal Buggies magari ya umeme kwa huduma ya usafiri ndani ya viwanja, pamoja na Swifpack Usafiri wa kurequest (Tax Mtandao)

