Habari
POSTA YASHIRIKI MEI MOSI NJOMBE 2026
Shirika la Posta Tanzania limeungana na wafanyakazi wengine nchini kuadhimisha Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) kitaifa, tarehe 1 Mei 2026, Njombe.
Mgeni Rasmi: Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kauli Mbiu: “Kazi zenye Staha ni Nguzo Imara kwa Maendeleo endelevu katika Utekelezaji wa Dira ya Taifa 2050.”
Imetolewa na:
Kitengo cha Mawasiliano
Shirika la Posta Tanzania

